Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:5 - Swahili Revised Union Version

5 Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani, tena amevaa darii ya shaba; na uzani wake ile darii ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano za shaba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kichwani alivaa kofia ya shaba, na deraya ya shaba kifuani yenye uzito wa kilo 57.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kichwani alivaa kofia ya shaba, na deraya ya shaba kifuani yenye uzito wa kilo 57.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kichwani alivaa kofia ya shaba, na deraya ya shaba kifuani yenye uzito wa kilo 57.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya shaba kifuani mwake yenye uzito wa shekeli elfu tano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya shaba kifuani mwake yenye uzito wa shekeli elfu tano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani, tena amevaa darii ya shaba; na uzani wake ile darii ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano za shaba.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Watandikeni farasi; pandeni, enyi mpandao farasi; simameni na chapeo zenu, isugueni mikuki; zivaeni dirii.


Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;


Ndipo akatoka shujaa katika kambi ya Wafilisti, aliyeitwa Goliathi, wa Gathi, ambaye urefu wake ulikuwa mikono sita na shibiri moja.


Tena amevaa mabamba ya shaba miguuni mwake, naye alikuwa na mkuki wa shaba kati ya mabega yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo