Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:31 - Swahili Revised Union Version

31 Na maneno hayo aliyosema Daudi yaliposikiwa, watu wakamweleza Sauli; naye akatuma mtu kwenda kumwita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Watu fulani ambao walimsikia Daudi alivyosema, walikwenda kumwambia Shauli. Naye Shauli akaagiza aitwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Watu fulani ambao walimsikia Daudi alivyosema, walikwenda kumwambia Shauli. Naye Shauli akaagiza aitwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Watu fulani ambao walimsikia Daudi alivyosema, walikwenda kumwambia Shauli. Naye Shauli akaagiza aitwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Lile Daudi alilosema likasikiwa na kuelezwa kwa Sauli, naye Sauli akatuma aitwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Lile Daudi alilosema likasikiwa na kuelezwa kwa Sauli, naye Sauli akatuma aitwe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Na maneno hayo aliyosema Daudi yaliposikiwa, watu wakamweleza Sauli; naye akatuma mtu kwenda kumwita.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:31
3 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme; Hatasimama mbele ya watu wasio na cheo.


Naye akamgeukia ili kumwelekea mtu mwingine, akasema naye jinsi ile ile; na watu wakamjibu tena jinsi ile ile kama ya kwanza.


Daudi akamwambia Sauli, Asifadhaike moyo mtu yeyote kwa ajili ya huyu; mimi mtumishi wako nitakwenda kupigana na Mfilisti huyu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo