Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:29 - Swahili Revised Union Version

29 Naye Daudi akamjibu, Je! Mimi nimekosa nini sasa? Je! Si neno kubwa hilo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Daudi akamjibu, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi kuuliza swali tu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Daudi akamjibu, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi kuuliza swali tu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Daudi akamjibu, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi kuuliza swali tu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Naye Daudi akamjibu, Je! Mimi nimekosa nini sasa? Je! Si neno kubwa hilo?

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:29
6 Marejeleo ya Msalaba  

Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.


Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.


watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki; kwa sababu hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.


Naye Eliabu, mkubwa wake, alisikia hapo alipoongea na watu; na hasira yake Eliabu ikawaka juu ya Daudi, akasema, Mbona wewe umeshuka hapa? Na kondoo wale wachache umemwachia nani kule nyikani? Mimi nakujua kiburi chako, na ubaya wa moyo wako; maana umeshuka ili upate kuvitazama vita.


Naye akamgeukia ili kumwelekea mtu mwingine, akasema naye jinsi ile ile; na watu wakamjibu tena jinsi ile ile kama ya kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo