Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:21 - Swahili Revised Union Version

21 Nao Waisraeli na Wafilisti wakajipanga, jeshi hili likikabili jeshi hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Majeshi ya Waisraeli na ya Wafilisti walijipanga tayari kupigana vita, majeshi yakiwa yanakabiliana ana kwa ana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Majeshi ya Waisraeli na ya Wafilisti walijipanga tayari kupigana vita, majeshi yakiwa yanakabiliana ana kwa ana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Majeshi ya Waisraeli na ya Wafilisti walijipanga tayari kupigana vita, majeshi yakiwa yanakabiliana ana kwa ana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Israeli na Wafilisti walikuwa wakipanga safu zao wakitazamana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Israeli na Wafilisti walikuwa wakipanga safu zao wakitazamana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Nao Waisraeli na Wafilisti wakajipanga, jeshi hili likikabili jeshi hili.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na jina la mtu huyo aliitwa Elimeleki, na jina la mkewe Naomi, na majina ya wanawe wawili Maloni na Kilioni, Waefrata wa Bethlehemu ya Yuda. Wakafika nchi ya Moabu, wakakaa huko.


Daudi akaondoka asubuhi na mapema, akawaacha kondoo pamoja na mchungaji, akavitwaa vitu vile, akaenda, kama Yese alivyomwamuru; akafika penye magari, wakati lile jeshi walipokuwa wakitoka kwenda kupigana, wakipiga kelele za vita.


Basi Daudi akaviacha vile vyombo vyake katika mkono wa mlinda vyombo, akalikimbilia jeshi, akafika, akawasalimu ndugu zake.


Nao Wafilisti wakajipanga juu ya Israeli; na walipopigana, Waisraeli wakapigwa na Wafilisti; waliowaua karibu elfu nne katika uwanja wa vita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo