Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 17:19 - Swahili Revised Union Version

19 Basi Sauli, na watu wote wa Israeli, walikuwa katika bonde la Ela, wakipigana na Wafilisti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Wakati huo mfalme Shauli, kaka zake Daudi na wanajeshi wote wa Israeli walikuwa kwenye bonde la Ela, wanapigana na Wafilisti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Wakati huo mfalme Shauli, kaka zake Daudi na wanajeshi wote wa Israeli walikuwa kwenye bonde la Ela, wanapigana na Wafilisti.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Wakati huo mfalme Shauli, kaka zake Daudi na wanajeshi wote wa Israeli walikuwa kwenye bonde la Ela, wanapigana na Wafilisti.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wao wako pamoja na Sauli na wanaume wote wa Israeli huko kwenye Bonde la Ela, wakipigana na Wafilisti.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wao wako pamoja na Sauli na watu wote wa Israeli huko kwenye Bonde la Ela, wakipigana na Wafilisti.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Basi Sauli, na watu wote wa Israeli, walikuwa katika bonde la Ela, wakipigana na Wafilisti.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 17:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

mpelekee kamanda wa kikosi chao jibini hizi kumi, ukawaangalie, wako hali gani, kisha uniletee jawabu yao.


Naye Sauli na watu wa Israeli wakakusanyika, wakatua katika bonde la Ela, nao wakapanga vita juu ya hao Wafilisti.


Daudi akaondoka asubuhi na mapema, akawaacha kondoo pamoja na mchungaji, akavitwaa vitu vile, akaenda, kama Yese alivyomwamuru; akafika penye magari, wakati lile jeshi walipokuwa wakitoka kwenda kupigana, wakipiga kelele za vita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo