1 Samueli 16:14 - Swahili Revised Union Version14 Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Baadaye roho ya Mwenyezi-Mungu ilimwacha Shauli, na roho mwovu kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ikamsumbua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Baadaye roho ya Mwenyezi-Mungu ilimwacha Shauli, na roho mwovu kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ikamsumbua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Baadaye roho ya Mwenyezi-Mungu ilimwacha Shauli, na roho mwovu kutoka kwa Mwenyezi-Mungu ikamsumbua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Basi Roho wa Mwenyezi Mungu alikuwa ameondoka kwa Sauli, nayo roho mbaya ikaachiwa nafasi na Mwenyezi Mungu ili imtese. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Basi Roho wa bwana alikuwa ameondoka kwa Sauli, nayo roho mbaya ikaachiwa nafasi na bwana ili imtese. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua. Tazama sura |