Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 15:34 - Swahili Revised Union Version

34 Na baada ya hayo Samweli akaenda zake kule Rama; naye Sauli akakwea kwenda nyumbani kwake huko Gibea ya Sauli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Kisha, Samueli akaenda Rama; na mfalme Shauli akarudi nyumbani kwake huko Gibea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Kisha, Samueli akaenda Rama; na mfalme Shauli akarudi nyumbani kwake huko Gibea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Kisha, Samueli akaenda Rama; na mfalme Shauli akarudi nyumbani kwake huko Gibea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Kisha Samweli akaenda Rama, lakini Sauli akapanda nyumbani mwake huko Gibea ya Sauli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Kisha Samweli akaenda Rama, lakini Sauli akapanda nyumbani kwake huko Gibea ya Sauli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Na baada ya hayo Samweli akaenda zake kule Rama; naye Sauli akakwea kwenda nyumbani kwake huko Gibea ya Sauli.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 15:34
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaondoka asubuhi na mapema, wakaomba mbele za BWANA, kisha wakarejea na kufika nyumbani kwao huko Rama; Elkana akamjua mkewe Hana; naye BWANA akamkumbuka.


Sauli naye akaenda nyumbani kwake huko Gibea; na pamoja naye wakaenda kikosi cha watu, ambao Mungu alikuwa ameigusa mioyo yao.


Hivyo wajumbe wakafika Gibea ya Sauli, wakasema maneno hayo masikioni mwa watu; na watu wote wakainua sauti zao wakalia.


Kisha alikuwa akirudi Rama; maana ndipo ilipokuwa nyumba yake; nako ndiko alikowaamua Waisraeli; na huko akamjengea BWANA madhabahu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo