1 Samueli 15:29 - Swahili Revised Union Version29 Tena Yeye aliye Nguvu za Israeli hatanena uongo, wala hataona majuto; maana siye mwanadamu, hata ajute. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Na Mungu ambaye ni utukufu wa Israeli hadanganyi, wala habadili wazo lake. Yeye si binadamu hata abadili mawazo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Na Mungu ambaye ni utukufu wa Israeli hadanganyi, wala habadili wazo lake. Yeye si binadamu hata abadili mawazo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Na Mungu ambaye ni utukufu wa Israeli hadanganyi, wala habadili wazo lake. Yeye si binadamu hata abadili mawazo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Yeye aliye Utukufu wa Israeli hasemi uongo wala hana kigeugeu; kwa kuwa yeye si mwanadamu, hata abadili nia yake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Yeye aliye Utukufu wa Israeli hasemi uongo wala hana kigeugeu; kwa kuwa yeye si mwanadamu, hata abadili nia yake.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Tena Yeye aliye Nguvu za Israeli hatanena uongo, wala hataona majuto; maana si mwanadamu, hata ajute. Tazama sura |