1 Samueli 10:7 - Swahili Revised Union Version7 Basi, hapo ishara hizi zitakapokutukia, fanya kama uonavyo vema; kwa kuwa Mungu yuko pamoja nawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Wakati mambo haya yatakapokutokea, chochote utakachoweza kufanya kifanye, kwani Mungu yu pamoja nawe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Wakati mambo haya yatakapokutokea, chochote utakachoweza kufanya kifanye, kwani Mungu yu pamoja nawe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Wakati mambo haya yatakapokutokea, chochote utakachoweza kufanya kifanye, kwani Mungu yu pamoja nawe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Mara ishara hizi zitakapotimizwa, fanya lolote mkono wako upasao kufanya, kwa kuwa Mungu yu pamoja nawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Mara ishara hizi zitakapotimizwa, fanya lolote mkono wako upasao kufanya, kwa kuwa Mungu yu pamoja nawe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Basi, hapo ishara hizi zitakapokutukia, fanya kama uonavyo vema; kwa kuwa Mungu yuko pamoja nawe. Tazama sura |