1 Samueli 10:22 - Swahili Revised Union Version22 Basi wakazidi kumwuliza BWANA, Amebaki mtu asiyekuja huku bado? Naye BWANA akajibu, Tazama, amejificha kwenye mizigo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Wakamwuliza Mungu tena, “Je, kuna mtu zaidi anayekuja?” Mwenyezi-Mungu akawajibu, “Anajificha kwenye mizigo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Wakamwuliza Mungu tena, “Je, kuna mtu zaidi anayekuja?” Mwenyezi-Mungu akawajibu, “Anajificha kwenye mizigo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Wakamwuliza Mungu tena, “Je, kuna mtu zaidi anayekuja?” Mwenyezi-Mungu akawajibu, “Anajificha kwenye mizigo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Wakazidi kuuliza kwa Mwenyezi Mungu, “Je, huyo mtu amekwisha kufika hapa?” Naye Mwenyezi Mungu akasema, “Ndiyo, amejificha kwenye mizigo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Wakazidi kuuliza kwa bwana, “Je, huyo mtu amekwisha kufika hapa?” Naye bwana akasema, “Ndiyo, amejificha katikati ya mizigo.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI22 Basi wakazidi kumwuliza BWANA, Amebaki mtu asiyekuja huku bado? Naye BWANA akajibu, Tazama, amejificha kwenye mizigo. Tazama sura |