Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 10:15 - Swahili Revised Union Version

15 Babaye mdogo Sauli akasema, Tafadhali niambie, huyo Samweli aliwaambiaje?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Yule baba mdogo wa Shauli akamwambia, “Tafadhali, niambie kile alichokuambia Samueli.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yule baba mdogo wa Shauli akamwambia, “Tafadhali, niambie kile alichokuambia Samueli.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yule baba mdogo wa Shauli akamwambia, “Tafadhali, niambie kile alichokuambia Samueli.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie Samweli amekuambia nini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie Samweli amekuambia nini.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Babaye mdogo Sauli akasema, Tafadhali niambie, huyo Samweli aliwaambiaje?

Tazama sura Nakili




1 Samueli 10:15
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wakuu wakamwendea Yeremia, wakamwuliza; naye akawaambia sawasawa na maneno aliyoamriwa na mfalme. Basi wakaacha kunena naye; maana neno lile halikujulikana.


Basi babaye mdogo akamwuliza Sauli na mtumishi wake, Je! Mlikwenda wapi? Naye akajibu, Tulikwenda ili kuwatafuta hao punda; na tulipoona ya kwamba hawakuonekana, tulimwendea Samweli.


Lakini Sauli akamjibu babaye mdogo, Alituambia waziwazi ya kuwa hao punda wamekwisha onekana. Lakini habari ya ufalme, ambayo Samweli alimwambia, hakuitaja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo