1 Samueli 10:10 - Swahili Revised Union Version10 Basi, walipofika Gibea, tazama, kikosi cha manabii wakakutana naye; kisha Roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu, naye akatabiri kati yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Shauli na mtumishi wake walipofika huko Gibea, alilakiwa na kundi la manabii. Roho ya Mungu ilimjia kwa nguvu, na Shauli akaanza kutabiri pamoja na manabii hao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Shauli na mtumishi wake walipofika huko Gibea, alilakiwa na kundi la manabii. Roho ya Mungu ilimjia kwa nguvu, na Shauli akaanza kutabiri pamoja na manabii hao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Shauli na mtumishi wake walipofika huko Gibea, alilakiwa na kundi la manabii. Roho ya Mungu ilimjia kwa nguvu, na Shauli akaanza kutabiri pamoja na manabii hao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Walipofika Gibea, akakutana na kundi la manabii. Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akajiunga nao katika kutoa unabii kwao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Walipofika Gibea, akakutana na kundi la manabii. Roho wa Mwenyezi Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akajiunga nao katika kutoa unabii kwao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Basi, walipofika Gibea, tazama, kikosi cha manabii wakakutana naye; kisha Roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu, naye akatabiri kati yao. Tazama sura |