Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 1:17 - Swahili Revised Union Version

17 Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Ndipo Eli akamwambia, “Nenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Ndipo Eli akamwambia, “Nenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Ndipo Eli akamwambia, “Nenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 1:17
14 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akamwomba BWANA kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye BWANA akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba.


Naye mfalme akamwambia, Nenda kwa amani. Basi akaondoka, akaenda Hebroni.


Elisha akamwambia, Nenda kwa amani. Lakini Naamani alipokuwa ameenda mbali kidogo,


Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibariki kweli kweli, na kuipanua mipaka yangu, na mkono wako ukawa pamoja nami, nawe ungenilinda nisipatwe na maovu wala madhara! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.


Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya, nenda zako kwa amani, uwe mzima, usiwe na msiba wako tena.


Akamwambia yule mwanamke, Imani yako imekuokoa, nenda zako kwa amani.


Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya; nenda zako na amani.


Kuhani akawaambia, Haya endeni na amani; njia mnayoiendea iko mbele za BWANA.


Usimdhanie mjakazi wako kuwa ni mwanamke asiyefaa kitu; kwa kuwa katika wingi wa kuugua kwangu na kusikitika kwangu ndivyo nilivyonena hata sasa.


Elkana, mumewe, akamwambia, Haya, fanya uonavyo vema; ngoja hadi utakapomwachisha kunyonya; BWANA na alithibitishe neno lake tu. Basi yule mwanamke akangoja, akamnyonyesha mtoto wake, hadi akamwachisha kunyonya.


Naye Yonathani akamwambia Daudi, Nenda kwa amani; kwa maana sisi sote wawili tumeapiana kwa jina la BWANA ya kwamba, BWANA atakuwa kati ya mimi na wewe, na kati ya uzao wangu na uzao wako milele. Daudi akaondoka, akaenda zake; Yonathani naye akaenda zake mjini.


Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimelikubali ombi lako.


Basi sasa rudi, uende zako kwa amani, ili usiwachukize hao wakuu wa Wafilisti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo