1 Samueli 1:17 - Swahili Revised Union Version17 Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Ndipo Eli akamwambia, “Nenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Ndipo Eli akamwambia, “Nenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Ndipo Eli akamwambia, “Nenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Eli akamjibu, “Nenda kwa amani, naye Mungu wa Israeli na akujalie kile ulichomwomba.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Ndipo Eli akajibu, akasema, Nenda kwa amani; na Mungu wa Israeli akujalie haja yako uliyomwomba. Tazama sura |