1 Samueli 1:10 - Swahili Revised Union Version10 Naye huyo mwanamke alikuwa na uchungu rohoni mwake, akamwomba BWANA akalia sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Hana alikuwa na huzuni sana. Na alipokuwa anamwomba Mwenyezi-Mungu akawa analia kwa uchungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Hana alikuwa na huzuni sana. Na alipokuwa anamwomba Mwenyezi-Mungu akawa analia kwa uchungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Hana alikuwa na huzuni sana. Na alipokuwa anamwomba Mwenyezi-Mungu akawa analia kwa uchungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa uchungu wake mwingi Hana alimwomba Mwenyezi Mungu, akilia kwa uchungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa uchungu wa rohoni Hana alilia sana na akamwomba bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Naye huyo mwanamke alikuwa na uchungu rohoni mwake, akamwomba BWANA akalia sana. Tazama sura |