Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Petro 3:2 - Swahili Revised Union Version

2 wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu.

Tazama sura Nakili




1 Petro 3:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe.


Enyi watumwa, watiini wao walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili, kwa hofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo, kana kwamba mnamtii Kristo;


Lakini mwenendo wenu na uwe kama inavyoipasa Injili ya Kristo, ili, nikija na kuwaona ninyi, au nisipokuwapo, niyasikie mambo yenu, kama mnasimama imara katika roho moja, kwa moyo mmoja mkiishindania imani ya Injili;


Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo;


Ninyi watumwa, watiini hao ambao kwa mwili ni bwana zenu, katika mambo yote, si kwa utumwa wa macho, kama wajipendekezao kwa wanadamu, bali kwa unyofu wa moyo, mkimcha Bwana.


Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi.


bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote;


Muwe na mwenendo mzuri kati ya Mataifa, ili, iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa.


Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;


Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;


Basi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa hivyo, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na utauwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo