Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Petro 3:19 - Swahili Revised Union Version

19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiria;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Baada ya kufanywa hai, alienda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiria;

Tazama sura Nakili




1 Petro 3:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini miaka mingi ukachukuliana nao, nawe ukawashuhudia kwa roho yako kwa vinywa vya manabii wako; wao wasitake kusikiliza; kwa hiyo ukawatia katika mikono ya watu wa nchi.


kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani waliofungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufungwa.


kuwaambia waliofungwa, Haya, tokeni; na hao walio katika giza, Jionesheni. Watajilisha katika njia, na juu ya majabali watapata malisho.


Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu BWANA amenitia mafuta niwahubirie wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwatibu waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.


Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; akauawa kimwili, lakini akahuishwa kiroho,


watu wasiotii hapo zamani, wakati Mungu alipowavumilia kwa subira, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo ndani yake wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji.


Maana kwa ajili hiyo hata hao waliokufa walihubiriwa Injili, ili kwamba wahukumiwe katika mwili kama wahukumiwavyo wanadamu; bali wawe hai katika roho kama Mungu alivyo hai.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.


Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo