Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 7:4 - Swahili Revised Union Version

Ndipo neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo, neno la Mwenyezi-Mungu wa majeshi likanijia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha neno la Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni likanijia kusema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha neno la bwana Mwenye Nguvu Zote likanijia kusema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo neno la BWANA wa majeshi likanijia, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 7:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo Bwana, BWANA wa majeshi, atatuma maradhi ya kukondesha kwa wapiganaji walionenepa; na badala ya utukufu wake kutawashwa kuteketea kama kuteketea kwa moto.


na kusema na makuhani wa nyumba ya BWANA wa majeshi, na hao manabii, ya kwamba, Je! Yanipasa kulia katika mwezi wa tano, na kufunga, kama nilivyofanya miaka hii mingi iliyopita?


Waambie watu wote wa nchi, na hao makuhani, ukisema, Hapo mlipofunga na kuomboleza katika mwezi wa tano na mwezi wa saba, katika miaka hiyo sabini, je, Mlifunga kwa ajili yangu?