Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 3:6 - Swahili Revised Union Version

Kisha malaika wa BWANA akamshuhudia Yoshua, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwonya kuhani mkuu Yoshua, akamwambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwonya kuhani mkuu Yoshua, akamwambia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwonya kuhani mkuu Yoshua, akamwambia,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Malaika wa Mwenyezi Mungu akamwamuru Yoshua:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Malaika wa bwana akamwamuru Yoshua:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha malaika wa BWANA akamshuhudia Yoshua, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 3:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, akawachukua siku zote za kale.


Kwa maana niliwashuhudia sana baba zenu, siku ile nilipowatoa katika nchi ya Misri, hata leo, nikiamka mapema na kuwashuhudia, nikisema, Itiini sauti yangu.


Naam, alishindana na malaika Akashinda; alilia, na kumsihi; Alimwona huko Betheli, naye akasema nasi huko;


Kisha akanionesha Yoshua, kuhani mkuu, amesimama mbele ya malaika wa BWANA, na Shetani amesimama mkono wake wa kulia ili kushindana naye.


Nikasema, Na wampige kilemba kizuri kichwani pake. Basi, wakampiga kilemba kizuri kichwani pake, wakamvika mavazi; naye malaika wa BWANA akasimama karibu.


BWANA wa majeshi asema hivi, Ikiwa utaenda katika njia zangu, na kushika maagizo yangu, basi utaihukumu nyumba yangu, na kuzilinda nyua zangu, nami nitakupa haki ya kunikaribia kati yao wasimamao karibu.