Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 2:3 - Swahili Revised Union Version

Na tuvipasue vifungo vyao, Na kuzitupa mbali nasi kamba zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanasema: “Tujiondoe katika utawala wao; tutupilie mbali minyororo yao!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanasema: “Tujiondoe katika utawala wao; tutupilie mbali minyororo yao!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanasema: “Tujiondoe katika utawala wao; tutupilie mbali minyororo yao!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tuvipasue vifungo vyao, Na kuzitupa mbali nasi kamba zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 2:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana tangu zamani wewe umeivunja nira yako, na kuvipasua vifungo vyako; ukasema, Mimi sitatumika; kwa maana juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti wenye majani mabichi, umejiinamisha, ukafanya mambo ya ukahaba.


nitawaendea watu wakubwa, nami nitasema nao; kwa maana hao wanaijua njia ya BWANA, na hukumu ya Mungu wao. Bali hawa kwa nia moja wameivunja nira, na kuvikata vifungo.


Lakini watu wa mji wake walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.