Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:3 - Swahili Revised Union Version

Mlango wa Haruni na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wazawa wa Aroni na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wazawa wa Aroni na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wazawa wa Aroni na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nyumba ya Haruni na iseme sasa: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nyumba ya Haruni na iseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mlango wa Haruni na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi mlango wa Haruni, mtumainini BWANA; Yeye ni msaada wao na ngao yao.


Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mmejengwa muwe nyumba ya Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu Kristo.


na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na ukuu una Yeye hata milele na milele. Amina.