Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 4:4 - Swahili Revised Union Version

Basi Yoshua akawaita hao watu kumi na wawili, aliokuwa ameteua tangu hapo awali, katika wana wa Israeli, kila kabila mtu mmoja;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yoshua akawaita hao watu kumi na wawili ambao alikuwa amewateua miongoni mwa Waisraeli, kila kabila mtu mmoja,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yoshua akawaita hao watu kumi na wawili ambao alikuwa amewateua miongoni mwa Waisraeli, kila kabila mtu mmoja,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yoshua akawaita hao watu kumi na wawili ambao alikuwa amewateua miongoni mwa Waisraeli, kila kabila mtu mmoja,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili ambao alikuwa amewachagua miongoni mwa Waisraeli, mtu mmoja kutoka kila kabila,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili ambao alikuwa amewachagua kutoka miongoni mwa Waisraeli, mtu mmoja kutoka kila kabila,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yoshua akawaita hao watu kumi na wawili, aliokuwa amewateua tangu hapo awali, katika wana wa Israeli, kila kabila mtu mmoja;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 4:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa twaeni watu kumi na wawili katika makabila ya Israeli, kila kabila mtu mmoja.


Haya, twaeni watu wanaume kumi na wawili katika hao watu, kila kabila mtu mmoja,


kisha uwaamrishe, kusema, Twaeni mawe kumi na mawili, hapo katikati ya Yordani, mahali hapo miguu ya hao makuhani iliposimama imara, mwende na mawe hayo, mkayaweke mahali pale kambini ambapo mtalala usiku huu.


naye Yoshua akawaambia, Haya, piteni ninyi mtangulie mbele ya sanduku la BWANA, Mungu wenu, mwende pale katikati ya Yordani, mkatwae kila mmoja wenu jiwe moja begani mwake, kwa kadiri ya hesabu ya makabila ya wana wa Israeli;