Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 4:17 - Swahili Revised Union Version

Basi Yoshua akawaamuru hao makuhani, akawaambia, Haya, kweeni mtoke Yordani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani, “Tokeni mtoni Yordani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani, “Tokeni mtoni Yordani.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani, “Tokeni mtoni Yordani.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yoshua akawaamuru hao makuhani, akawaambia, Haya, kweeni mtoke Yordani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 4:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Nebukadneza akaukaribia mlango wa lile tanuri lililokuwa linawaka moto. Akanena, akasema, Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni, mje huku. Ndipo Shadraka, na Meshaki, na Abednego, wakatoka katika ule moto.


Na walipokwisha kuwapiga mapigo mengi, wakawatupa gerezani, wakamwamuru mlinzi wa gereza awalinde sana.


Haya, uwaamuru makuhani, hao waliolichukua sanduku la ushuhuda, kwamba wakwee juu kutoka mle katika Yordani.


Ilikuwa, hapo hao makuhani waliolichukua sanduku la Agano la BWANA walipokwea juu kutoka mle kati ya Yordani, na nyayo za miguu yao hao makuhani zilipoinuliwa na kutiwa katika nchi kavu, ndipo maji ya Yordani yaliporudi mahali pake, na kufurika katika kingo zake zote, kama yalivyokuwa hapo kwanza.