Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 3:9 - Swahili Revised Union Version

Basi Yoshua akawaambia wana wa Israeli, Njoni huku, mkayasikie maneno ya BWANA, Mungu wenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Yoshua akawaambia Waisraeli: “Njoni karibu mpate kusikia maneno ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Yoshua akawaambia Waisraeli: “Njoni karibu mpate kusikia maneno ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Yoshua akawaambia Waisraeli: “Njoni karibu mpate kusikia maneno ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yoshua akawaambia Waisraeli, “Njooni hapa msikilize maneno ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yoshua akawaambia Waisraeli, “Njooni hapa msikilize maneno ya bwana Mwenyezi Mungu wenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yoshua akawaambia wana wa Israeli, Njoni huku, mkayasikie maneno ya BWANA, Mungu wenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 3:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Msifanye kwa kufuata mambo yote tuyafanyayo hapa leo, kila mtu kama apendavyo;


Na sasa, Ee Israeli, zisikilizeni amri na hukumu ninazowafundisha, ili mzitende; mpate kuishi na kuingia na kuimiliki nchi anayowapa BWANA, Mungu wa baba zenu.


Yoshua akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kuwa Mungu aliye hai yu kati yenu, na ya kuwa hatakosa kuwatoa mbele yenu Mkanaani, na Mhiti, na Mhivi, na Mperizi, na Mgirgashi, na Mwamori, na Myebusi.


Nawe uwaamuru hao makuhani walichukuao sanduku la Agano, ukawaambie, Mtakapofika ukingo wa maji ya Yordani, simameni katika Yordani.