Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 21:31 - Swahili Revised Union Version

na Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho, na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni minne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni minne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho. Jumla ya miji waliyopewa ni minne.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Helkathi na Rehobu, pamoja na maeneo ya malisho ya kila mji: miji minne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho, na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 21:31
7 Marejeleo ya Msalaba  

na Helkathi pamoja na viunga vyake, na Rehobu pamoja na viunga vyake;


Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu;


na Ebroni, Rehobu, Hamoni, Kana, hadi kufikia Sidoni Kuu;


Tena katika kabila la Asheri, Mishali pamoja na mbuga zake za malisho, na Abdoni pamoja na mbuga zake za malisho;


Tena katika kabila la Naftali, Kedeshi katika Galilaya pamoja na mbuga zake za malisho, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji, na Hamoth-dori pamoja na mbuga zake za malisho, na Kartani pamoja na mbuga zake za malisho; miji mitatu.


Asheri naye hakuwatoa wenyeji wa Aka, wala hao waliokaa Sidoni, wala hao wa Alabu, wala hao wa Akzibu, wala hao wa Helba, wala hao wa Afeka, wala hao wa Rehobu;


Basi wakageuka wakaenda zao, lakini watoto wadogo na wanyama wao wa kufugwa, na vyombo vyao, wakawatanguliza mbele yao.