Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 20:2 - Swahili Revised Union Version

Nena wewe na wana wa Israeli, uwaambie, Haya, toeni hiyo miji ya makimbilio, ambayo niliwaambia habari zake kwa mkono wa Musa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

awaambie Waisraeli hivi: “Jichagulieni miji ambamo mtu aweza kukimbilia usalama ambayo nilimwambia Mose akueleze.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

awaambie Waisraeli hivi: “Jichagulieni miji ambamo mtu aweza kukimbilia usalama ambayo nilimwambia Mose akueleze.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

awaambie Waisraeli hivi: “Jichagulieni miji ambamo mtu aweza kukimbilia usalama ambayo nilimwambia Mose akueleze.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Waambie Waisraeli, watenge miji ya kukimbilia, kama nilivyokuagiza kupitia Musa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Waambie Waisraeli, watenge miji mikubwa ya kukimbilia, kama nilivyokuagiza kupitia Musa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nena wewe na wana wa Israeli, uwaambie, Haya, toeni hiyo miji ya makimbilio, ambayo niliwaambia habari zake kwa mkono wa Musa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 20:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na hiyo miji mtakayowapa Walawi, itakuwa miji sita ya kukimbilia, mtakayoweka kwa ajili ya mwenye kumwua mtu, ili akimbilie huko; pamoja na hiyo mtawapa miji arubaini na miwili zaidi.


Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.


Kisha BWANA akanena na Yoshua, na kumwambia,


ili kwamba mwenye kuua mtu, aliyemwua mtu yeyote pasipo kukusudia, na pasipo kujua, apate kukimbilia huko; nayo itakuwa ni mahali pa kukimbilia kwenu, kumkimbia huyo ajilipizaye kisasi cha damu.