Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 15:39 - Swahili Revised Union Version

Lakishi, Bozkathi, Egloni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakishi, Boskathi, Egloni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakishi, Boskathi, Egloni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakishi, Boskathi, Egloni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakishi, Boskathi, Egloni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakishi, Boskathi, Egloni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakishi, Bozkathi, Egloni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 15:39
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafanya fitina juu yake katika Yerusalemu, naye akakimbia mpaka Lakishi, lakini wakatuma watu kumfuata mpaka Lakishi, wakamwua huko.


Basi Hezekia, mfalme wa Yuda, akapeleka wajumbe waende Lakishi kwa mfalme wa Ashuru, kusema, Nimekosa; uniache ukarudi kwako; chochote utakachoweka juu yangu, nitakichukua. Mfalme wa Ashuru akamtoza Hezekia, mfalme wa Yuda, talanta za fedha mia tatu, na talanta za dhahabu thelathini.


Mfalme wa Ashuru akawatuma jemadari wake, na mkuu wa matowashi, na kamanda wake, toka Lakishi, kwa mfalme Hezekia huko Yerusalemu, pamoja na jeshi kubwa. Nao wakakwea wakafika Yerusalemu. Na walipokwisha kufika, wakaja wakasimama karibu na mfereji wa birika la juu, lililo katika njia kuu ya kuuendea Uwanda wa Dobi.


Basi yule kamanda akarudi, akamkuta mfalme wa Ashuru, anapigana na Libna; maana alikuwa amesikia ya kwamba ameondoka, akaacha Lakishi.


Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.


Basi kwa hiyo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, akatuma ujumbe kwa Hohamu, mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarmuthi, na kwa Yafia, mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Egloni, akiwaambia,


Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Lakishi, na Israeli wote pamoja naye, hadi wakafika Egloni; nao wakauzingira na kuushambulia;


Dilani, Mispe, Yoktheeli;


Kaboni, Lamasi, Kithilishi;