Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 13:18 - Swahili Revised Union Version

na Yahasa, na Kedemothi, na Mefaathi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Yahasa, na Kedemothi, na Mefaathi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 13:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Heshboni analia na Eleale; mpaka Yahasa sauti ya kulia kwao inasikiwa; hata watu wa Moabu waliovaa silaha wanapiga kelele sana kwa sababu hiyo; nafsi yake inatetemeka ndani yake.


Na hukumu imeifikia nchi tambarare; juu ya Holoni, na juu ya Yasa, na juu ya Mefaathi;


Toka kilio cha Heshboni mpaka Eleale, naam, mpaka Yahasa, wametoa sauti zao, toka Soari mpaka Horonaimu, hata Eglath-shelishia; maana maji ya Nimrimu nayo yatakuwa ukiwa.


Lakini Sihoni hakukubali kumwacha Israeli kupita katika mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, akatoka aende kupigana na Israeli jangwani, akafika mpaka Yahasa; akapigana na Israeli.


Nikatuma wajumbe kutoka bara ya Kedemothi kwenda kwa Sihoni mfalme wa Heshboni na maneno ya amani, kusema.


na Heshboni na miji yake yote iliyoko katika bonde; na Diboni, na Bamoth-baali, na Beth-baal-meoni;


Lakini huyo Sihoni hakuwaamini Israeli ili wapite ndani ya mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, nao wakapiga kambi katika Yahasa, wakapigana na Israeli.