Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 12:21 - Swahili Revised Union Version

mfalme wa Taanaki, mmoja; na mfalme wa Megido, mmoja;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mfalme wa Taanaki; mfalme wa Megido;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mfalme wa Taanaki, mmoja; na mfalme wa Megido, mmoja;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 12:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Baana mwana wa Ahiludi, katika Taanaki na Megido, na Beth-sheani yote, iliyo kando ya Sarethani, chini ya Yezreeli, tangu Beth-sheani mpaka Abel-mehola, hata kupita Yokmeamu.


mfalme wa Shimron-meroni, mmoja; na mfalme wa Akshafu, mmoja;


na mfalme wa Kedeshi, mmoja; mfalme wa Yokneamu wa Karmeli, mmoja;


Tena Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika Asheri, nayo ni hii, Beth-sheani na vijiji vyake, Ibleamu na miji yake, wenyeji wa Dori na miji yake, wenyeji wa Endori na miji yake, wenyeji wa Taanaki na miji yake, wenyeji wa Megido na miji yake, na pia theluthi ya Nafathi.


Tena katika hiyo nusu ya kabila la Manase, Taanaki pamoja na mbuga zake za malisho, na Gath-rimoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji miwili.


Wafalme walikuja wakafanya vita, Ndipo wafalme wa Kanaani walifanya vita. Katika Taanaki, karibu na maji ya Megido; Hawakupata faida yoyote ya fedha.