Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 10:9 - Swahili Revised Union Version

Basi Yoshua akawatokea ghafla; kwani alikwea kutoka Gilgali kwenda usiku kucha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kutembea kutoka Gilgali usiku kucha, Yoshua akawatokea ghafla.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kutembea kutoka Gilgali usiku kucha, Yoshua akawatokea ghafla.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kutembea kutoka Gilgali usiku kucha, Yoshua akawatokea ghafla.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya Yoshua kutembea usiku kucha kutoka Gilgali, akawashambulia ghafula.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya Yoshua kutembea usiku kucha kutoka Gilgali, akawashambulia ghafula.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yoshua akawatokea ghafla; kwani alikwea kutoka Gilgali kwenda usiku kucha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 10:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Wamwona mtu mwenye bidii katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme; Hatasimama mbele ya watu wasio na cheo.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Ushiriki taabu pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.


lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.


BWANA naye akawatapanya mbele ya Israeli, naye Israeli akawaua uuaji ulio mkuu hapo Gibeoni, akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni, na kuwapiga hadi kufikia Azeka, tena hadi kufikia Makeda.


BWANA akamwambia Yoshua, Usiwaogope watu hao; kwa kuwa mimi nimekwisha kuwatia mikononi mwako; hapana mtu awaye yote miongoni mwao atakayesimama mbele yako.


Basi Yoshua akaenda, na watu wote wa vita pamoja naye, ili kupigana nao hapo penye maji ya Meromu ghafla; wakawashambulia.