Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:26 - Swahili Revised Union Version

Basi wakamwambia, Alikutendea nini? Alikufumbua macho jinsi gani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamuuliza, “Alikufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamuuliza, “Alikufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakamwambia, Alikutendea nini? Alikufumbua macho jinsi gani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.


Wakamwuliza Baruku, wakisema, Tuambie sasa; ulipataje kuyaandika maneno haya yote kinywani mwake?


Na Waandishi na Mafarisayo walikuwa wakimvizia, ili waone kama ataponya siku ya sabato; kusudi wapate neno la kumshitakia.


Basi wakamwambia, Macho yako yalifumbuliwaje?


Basi Mafarisayo nao wakamwuliza tena jinsi gani alivyopata kuona. Akawaambia, Alinitia tope juu ya macho, nami nikanawa, na sasa naona.


Basi yule mtu akajibu, Kwamba yeye ni mwenye dhambi sijui. Najua neno moja, kuwa mimi nilikuwa kipofu na sasa naona.


Akawajibu, Nimekwisha kuwaambia, wala hamkusikia; mbona mnataka kusikia tena? Ninyi nanyi mnataka kuwa wanafunzi wake?