Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:23 - Swahili Revised Union Version

Ndiyo sababu wale wazazi wake walisema, Ni mtu mzima, mwulizeni yeye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndiyo maana wazazi wake walisema: “Yeye ni mtu mzima, mwulizeni.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo wazazi wake wakasema, “Yeye ni mtu mzima. Muulizeni.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo wazazi wake wakasema, “Yeye ni mtu mzima. Muulizeni.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndiyo sababu wale wazazi wake walisema, Ni mtu mzima, mwulizeni yeye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:23
2 Marejeleo ya Msalaba  

lakini jinsi aonavyo sasa hatujui; wala hatujui ni nani aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima; atajisemea mwenyewe.


Basi mara ya pili wakamwita yule mtu aliyekuwa kipofu, wakamwambia, Mpe Mungu utukufu. Sisi tunajua ya kuwa mtu huyo ni mwenye dhambi.