Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:22 - Swahili Revised Union Version

Basi Wayahudi wakasema, Je! Atajiua! Kwa kuwa asema, Mimi niendako ninyi hamuwezi kuja?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Wayahudi wakasema, Je! Atajiua! Kwa kuwa asema, Mimi niendako ninyi hamuwezi kuja?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nafsi zetu zimeshiba mzaha wa wenye raha, Na dharau ya wenye kiburi.


Lakini mimi ni mdudu wala si mtu, Nimedharauliwa na kupuuzwa na watu.


Midomo ya uongo iwe na ububu, Imneneayo mwenye haki maneno ya kiburi, Kwa majivuno na dharau.


Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma kwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu ili wamwulize, Wewe u nani?


Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?


Mkutano wakajibu, Ama! Una pepo! Ni nani anayetafuta kukuua?


Basi Wayahudi wakasemezana, Huyu atakwenda wapi hata sisi tusimwone? Ati! Atakwenda kwa Utawanyiko wa Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki?


Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Je! Sisi hatusemi vema ya kwamba wewe u Msamaria, nawe una pepo?


Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Abrahamu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili upinzani mkuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.


Basi na tutoke tumwendee nje ya kambi, tukichukua shutuma yake.