Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:1 - Swahili Revised Union Version

Walikwenda kila mtu nyumbani kwake; naye Yesu akaenda mpaka katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akaenda kwenye mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akaenda kwenye mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini Yesu akaenda kwenye mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa akaenda katika Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa akaenda katika Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walikwenda kila mtu nyumbani kwake; naye Yesu akaenda mpaka katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokaribia Yerusalemu, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu alipotuma wanafunzi wawili akiwaambia,


Walipokaribia Yerusalemu karibu na Bethfage na Bethania, kukabili mlima wa Mizeituni, aliwatuma wawili katika wanafunzi wake,


Na alipokuwa ameketi katika mlima wa Mizeituni, kuelekea hekalu Petro, na Yakobo, na Yohana, na Andrea walimwuliza kwa faragha,


Na alipokuwa amekaribia mteremko wa mlima wa Mizeituni, kundi zima la wanafunzi wake walianza kufurahi na kumsifu Mungu kwa sauti kuu, kwa ajili ya matendo yote ya uwezo waliyoyaona,