Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:34 - Swahili Revised Union Version

Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtanitafuta lakini hamtaniona, na pale nitakapokuwa nyinyi hamwezi kufika.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Watakwenda na makundi yao ya kondoo na ng'ombe wamtafute BWANA; lakini hawatamwona; amejitenga nao.


Kwa maana nawaambia, Hamtaniona kamwe tangu sasa, hadi mtakaposema, Amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana.


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja nami popote nilipo, wapate na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi ulimwengu.


Ni neno gani hilo alilolisema, Mtanitafuta wala hamtaniona; nami nilipo ninyi hamwezi kuja?