Ninyi mlituma watu kwa Yohana, naye akaishuhudia kweli.
Nyinyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli.
“Mlituma wajumbe kwa Yahya, naye akaishuhudia kweli.
“Mlituma wajumbe kwa Yahya, naye akashuhudia juu ya kweli.