Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:43 - Swahili Revised Union Version

Na baada ya siku mbili hizo akaondoka huko, akaenda Galilaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya zile siku mbili, Isa aliondoka kwenda Galilaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya zile siku mbili, Isa aliondoka kwenda Galilaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na baada ya siku mbili hizo akaondoka huko, akaenda Galilaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:43
8 Marejeleo ya Msalaba  

akatoka Nazareti, akaja akakaa Kapernaumu, mji ulioko pwani, mipakani mwa Zabuloni na Naftali;


Akampeleka kwa Yesu. Naye Yesu akamtazama, akasema, Wewe u Simoni, mwana wa Yohana; nawe utaitwa Kefa (tafsiri yake Petro, au Jiwe).


Basi wale Wasamaria walipomwendea, walimsihi akae kwao; naye akakaa huko siku mbili.


Kwa maana Yesu mwenyewe alishuhudia ya kwamba nabii hapati heshima katika nchi yake mwenyewe.


Basi alifika tena Kana ya Galilaya, hapo alipoyafanya yale maji kuwa divai. Na palikuwa na ofisa mmoja ambaye mwanawe alikuwa mgonjwa huko Kapernaumu.


Kwa maana nasema, ya kwamba Kristo amefanyika mhudumu wa agano la kutahiriwa kwa ajili ya kweli ya Mungu, kusudi azithibitishe ahadi walizopewa baba zetu;