Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 20:6 - Swahili Revised Union Version

Basi akaja na Simoni Petro, akaingia ndani ya kaburi; akavitazama vitambaa vilivyolala,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Simoni Petro akaja akimfuata nyuma, akaingia ndani ya kaburi. Naye akaona vile vitambaa vya ile sanda vikiwa pale chini,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Simoni Petro akaja, akimfuata nyuma akaenda moja kwa moja hadi ndani ya kaburi. Naye akaona vile vitambaa vya ile sanda vikiwa pale chini

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akaja na Simoni Petro, akaingia ndani ya kaburi; akavitazama vitambaa vilivyolala,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 20:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi yule kijakazi, aliyekuwa mlinda mlango, akamwambia Petro, Wewe nawe, je! Hu mwanafunzi mmojawapo wa mtu huyu? Naye akasema, Si mimi.


Akainama na kuchungulia, akaona vitambaa vya sanda vimelala; lakini hakuingia.


na ile leso iliyokuwako kichwani pake; haikulala pamoja na vitambaa, bali imezongwazongwa mbali mahali peke yake.


Basi yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda akamwambia Petro, Ndiye Bwana. Naye Simoni Petro, aliposikia ya kwamba ni Bwana, akajifunga vazi lake, (maana alikuwa uchi), akajitupa baharini.