Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 20:11 - Swahili Revised Union Version

Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Wakati alipokuwa akilia, aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mariamu Magdalene akasimama nje ya kaburi akilia. Alipokuwa akilia, akainama kuchungulia mle kaburini,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Maria Magdalene akasimama nje ya kaburi akilia. Alipokuwa akilia, akainama, kuchungulia mle kaburini,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Wakati alipokuwa akilia, aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 20:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaingia kaburini wakaona kijana akiwa ameketi upande wa kulia, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu.


Akainama na kuchungulia, akaona vitambaa vya sanda vimelala; lakini hakuingia.