Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 2:21 - Swahili Revised Union Version

Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya hekalu ambalo ni mwili wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini yeye Hekalu alilozungumzia ni mwili wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini yeye alinena habari za hekalu la mwili wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 2:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.


Basi alipofufuka katika wafu, wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa alisema hivi, wakaliamini lile andiko na lile neno alilolinena Yesu.


Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?


Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;


Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae;


Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.


mhudumu wa patakatifu, na wa ile hema ya kweli, ambayo Bwana aliiweka wala si mwanadamu.