Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 19:32 - Swahili Revised Union Version

Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili, aliyesulubiwa pamoja naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, askari walikwenda, wakaivunja miguu ya yule mtu wa kwanza na yule wa pili ambao walikuwa wamesulubiwa pamoja na Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, askari walikwenda, wakaivunja miguu ya yule mtu wa kwanza na yule wa pili ambao walikuwa wamesulubiwa pamoja na Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, askari walikwenda, wakaivunja miguu ya yule mtu wa kwanza na yule wa pili ambao walikuwa wamesulubiwa pamoja na Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo askari wakaenda wakavunja miguu ya mtu wa kwanza aliyesulubiwa pamoja na Isa, na ya yule mwingine pia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo askari wakaenda wakavunja miguu ya mtu wa kwanza aliyesulubiwa pamoja na Isa na yule mwingine pia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kwanza, na wa pili, aliyesulubiwa pamoja naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 19:32
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamsulubisha huko, na wengine wawili pamoja naye, mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.


Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu;