Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 18:7 - Swahili Revised Union Version

Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Wakamjibu, “Yesu Mnazareti!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Wakamjibu, “Yesu Mnazareti!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Wakamjibu, “Yesu Mnazareti!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Nao wakamjibu, “Isa Al-Nasiri.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?” Nao wakamjibu, “Isa Al-Nasiri.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 18:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

akaenda, akakaa katika mji ulioitwa Nazareti; ili litimie neno lililonenwa na manabii, Ataitwa Mnazareti.


Basi Yesu, huku akijua yote yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni nani mnayemtafuta?


Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini.


Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao.