Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 18:34 - Swahili Revised Union Version

Yesu akamjibu, Wewe wasema hivi kwa nafsi yako, au watu wengine walikuambia habari zangu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamjibu, “Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekuambia habari zangu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamjibu, “Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekuambia habari zangu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamjibu, “Je, hayo ni maneno yako au wengine wamekuambia habari zangu?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akamjibu, Wewe wasema hivi kwa nafsi yako, au watu wengine walikuambia habari zangu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 18:34
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Pilato akaingia tena ndani ya Praitorio, akamwita Yesu, akamwambia, Je! Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?


Pilato akajibu, Ama! Ni Myahudi mimi! Taifa lako na wakuu wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?


Akaingia tena ndani ya ile Praitorio, akamwambia Yesu, Wewe umetoka wapi? Lakini Yesu hakumpa jibu lolote.