Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 16:3 - Swahili Revised Union Version

Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nao watawatenda haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hayo watawatenda kwa sababu hawakumjua Baba wala mimi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 16:3
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu, wala hakuna amjuaye Mwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana apenda kumfunulia.


Lakini haya yote watawatenda kwa ajili ya jina langu, kwa kuwa hawamjui yeye aliyenituma.


Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba yangu.


Baba mwenye haki, ulimwengu haukukujua; lakini mimi nilikujua, na hao wamejua ya kuwa ndiwe uliyenituma.


Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Basi wakamwambia, Yuko wapi Baba yako? Yesu akajibu, Mimi hamnijui, wala Baba yangu hammjui; kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba yangu.


Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nilishika.


Basi sasa, ndugu, najua ya kuwa mliyatenda haya kwa kutokujua kwenu, kama na wakuu wenu walivyotenda.


ambayo wenye kuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kama wangaliijua, wasingalimsulubisha Bwana wa utukufu.


katika muali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;


ingawa hapo awali nilikuwa mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye ujeuri, lakini nilipata rehema kwa kuwa nilifanya hivyo kwa ujinga, na kwa kutokuwa na imani.


Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.


Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.


Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.