Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 14:4 - Swahili Revised Union Version

Nami niendako mwaijua njia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi mnajua njia ya kufika ninakoenda.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi mnajua njia ya kufika ninakokwenda.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami niendako mwaijua njia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 14:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake?


Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.


Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


Yesu, huku akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitoka kwa Mungu naye anakwenda kwa Mungu,


Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.


Mlisikia ya kwamba mimi niliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi tunaijuaje njia?


Nilitoka kwa Baba, nami nimekuja hapa ulimwenguni; tena nauacha ulimwengu; na kwenda kwa Baba.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.