Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:28 - Swahili Revised Union Version

Wala hakuna mtu katika wale walioketi chakulani aliyeijua sababu ya kumwambia hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Isa alimwambia hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna hata mmoja wa wale waliokuwa wameketi naye mezani aliyeelewa kwa nini Isa alimwambia hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala hakuna mtu katika wale walioketi chakulani aliyeijua sababu ya kumwambia hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:28
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na baada ya hilo tonge Shetani alimwingia. Basi Yesu akamwambia, Uyatendayo yatende upesi.


Kwa maana wengine walidhania, kwa kuwa Yuda huchukua mfuko, ya kwamba Yesu alimwambia kama, Nunua mnavyovihitaji kwa sikukuu; au kwamba awape maskini kitu.