Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:25 - Swahili Revised Union Version

Basi yeye, huku akimwelekea Yesu kifua chake, akamwambia, Bwana, ni nani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, “Bwana, ni nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, “Bwana, ni nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanafunzi huyo akasogea karibu zaidi na Yesu, akamwuliza, “Bwana, ni nani?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule mwanafunzi akamwegemea Isa, akamuuliza, “Bwana, tuambie, ni nani?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule mwanafunzi akamwegemea Isa, akamuuliza, “Bwana, tuambie, ni nani?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi yeye, huku akimwelekea Yesu kifua chake, akamwambia, Bwana, ni nani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mfalme Ahasuero aliponena, akamwambia malkia Esta, Ni nani huyu, tena yuko wapi, ambaye moyoni mwake alithubutu kufanya hivi?


Basi Simoni Petro akampungia mkono, akamwambia, Uliza, ni nani amtajaye?


Petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu anafuata; (ndiye huyo aliyeegama kifuani pake wakati wa kula chakula cha jioni, akasema, Bwana, ni nani akusalitiye?)