Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:15 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa nimewapa kielelezo; ili kama mimi nilivyowatendea, nanyi mtende vivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi nimewawekea kielelezo kwamba imewapasa kutenda kama vile nilivyowatendea ninyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi nimewawekea kielelezo kwamba imewapasa kutenda kama vile nilivyowatendea ninyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa nimewapa kielelezo; ili kama mimi nilivyowatendea, nanyi mtende vivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;


Na Mungu mwenye saburi na faraja awajalie kunuia mamoja ninyi kwa ninyi, kwa kufuata mfano wa Kristo Yesu;


mkaende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.


Kwa sababu ndio mlioitiwa; maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielelezo, mfuate nyayo zake.


Wala si kama wajifanyao mabwana wa wale walio chini ya utunzaji wao, bali iweni mifano kwa lile kundi.


Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.