Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 12:45 - Swahili Revised Union Version

Naye anitazamaye mimi amtazama yeye aliyenituma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayeniona mimi anamwona pia yule aliyenituma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeyote anionaye mimi amemwona yeye aliyenituma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeyote anionaye mimi, amemwona yeye aliyenituma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye anitazamaye mimi amtazama yeye aliyenituma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 12:45
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa aliuona utukufu wake, akataja habari zake.


Kama nisingalitenda kwao kazi asizozitenda mtu mwingine, wasingalikuwa na dhambi; lakini sasa wametuona mimi na Baba yangu, na kutuchukia.


Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.


Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na chapa kamili ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi katika mkono wa kulia wa Ukuu huko juu;


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.