Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 12:41 - Swahili Revised Union Version

Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa aliuona utukufu wake, akataja habari zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Isaya alisema maneno haya kwa sababu aliuona utukufu wa Yesu, akasema habari zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Isa na kunena habari zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isaya alisema haya alipoona utukufu wa Isa na kunena habari zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa aliuona utukufu wake, akataja habari zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 12:41
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.


Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.


Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba?


Mnayachunguza maandiko kwa sababu mnadhani kuwa ndani yake ninyi mna uzima wa milele; na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia.


Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na chapa kamili ya nafsi yake, akivichukua vyote kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi katika mkono wa kulia wa Ukuu huko juu;


Wakatafuta ni wakati upi, na wakati wa namna gani ulioonywa na Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, ambaye alitangulia kuyashuhudia mateso yatakayompata Kristo, na utukufu utakaokuwako baada ya hayo.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.