Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 12:39 - Swahili Revised Union Version

Ndiyo sababu wao hawakuweza kusadiki; kwa maana Isaya alisema tena,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya alisema tena:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya alisema tena:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo hawakuweza kuamini, kwani Isaya alisema tena:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu Isaya anasema mahali pengine:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hivyo hawakuamini, kwa sababu Isaya anasema mahali pengine:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndiyo sababu wao hawakuweza kusadiki; kwa maana Isaya alisema tena,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 12:39
8 Marejeleo ya Msalaba  

lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini mimi, ziaminini zile kazi; mpate kujua na kufahamu ya kuwa Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba.


ili litimie lile neno la nabii Isaya alilolisema, Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu; Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?


Amewapofusha macho, Ameifanya mizito mioyo yao; Wasije wakaona kwa macho yao, Wakafahamu kwa mioyo yao, Wakaongoka, nikawaponya.


Mnawezaje kuamini ninyi mnaopokeana utukufu ninyi kwa ninyi, na utukufu ule utokao kwa Mungu aliye wa pekee hamwutafuti?


Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenituma; nami nitamfufua siku ya mwisho.


wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kuhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo iliyozoezwa kutamani, wana wa laana;